Showing posts with label Fatma Said Ahmed. Show all posts
Showing posts with label Fatma Said Ahmed. Show all posts

The Global Goals

QUIZ: Which of the #GlobalGoals does our #SRH work help to advance, and how? Hint: There's more than one! #SRHR

Stand For Humanity

I can’t think of any issue that is more important than working to see that no schoolchild in this world goes hungry.
Deaf,Blind and Dumb kids
#WeRiseByLiftingOthers
#stand_for_humanity

MSIKILIZE MTOTO WAKO

Ukisikiliza watoto unawaambia umuhimu wao.
Tafuta wakati wa kusikiliza maoni wa watoto.
Saa nyengine watoto hawaongei kwa sababu hawapatiwi fursa. Jaribu kuhakikisha kuna wakati na nafasi ya kila mtu katika jamii kuongea na pia kusikilizwa.
Sikiliza pia maneno ambayo hayasemekani. Kwa wengi, tabia huongea zaidi ya maneno. Je, mtoto ana jaribu kukuambia nini?
Sikiliza na shauri. Mpatie mtoto wako wakati wa kukuambia kisa au maneno yake.
Saidia watoto wako kutamka fikra na hisia zao kwa kuwasaidia kutafuta maneno au jinsi ya kuwasiliana na wewe.

Transforming Lives

GINGER FARMING TAKES OFF AND PAYS OFF IN GUINEA

Crop brings profits to struggling farmers.

“Ginger growing has made me a well-respected man in the community because I can afford to feed my family and send my kids to school.”


Nov. 2014—In southern Guinea, many poor families have a small amount of land to grow food and constantly struggle to feed themselves. Telimélé's climate is tropical and humid, with regular rainfall during the growing season. The main economic agricultural activity is pepper farming. However, the environment is perfect for another crop with export potential—ginger.
To make the most of the ideal features of the area, in December 2011, USAID sponsored the creation of a ginger farming microenterprise in the region. Ginger is attractive because it requires little farm land, has production expansion potential, and is a lucrative crop that can increase economic opportunities for the community.
Farmers’ groups received improved seed varieties and appropriate training to grow
ginger on land loaned by a member of the microenterprise or a private owner with the help of the implementing partner and local authorities. Basic processing and storage facilities and a warehouse help farmers make the most of their harvests.
Today, ginger cultivation is helping individuals from different villages lift themselves and their families out of poverty. The business is growing quickly and has already surpassed pepper farming. Ginger is exported to Senegal, Guinea Bissau and other regions in Guinea. Farmers are using the proceeds to help members access credit, manage loans, and set up their own small businesses. The transparency in managing proceeds and expenditures is praised by the 94 members of the microenterprise, including 68 women. Each member makes an annual profit of about $2,057 (1,440,000 Guinean francs) and about 65 households directly benefit from the microenterprise.
“Ginger growing has made me a well-respected man in the community because I can afford to feed my family and send my kids to school. Our lives have improved,” says Mamadou Oury Diallo.
The effort is part of USAID's Rural Micro enterprise Development Guinea project, which runs from December 2011 to November 2015 and is designed to promote the expansion of economic activities to improve the standard of living for 772 households, including entrepreneurial women. Since its launch, the project has identified ways to improve the value and marketing of seven rural micro enterprises in Guinea's Fouta Djallon Highlands.

Human Rights

                                A school girl at the Sitara School in Kabul pushes her classmate, a double-                                leg land-mine amputee in a wheelchair. The Convention on the Rights of                                 Persons with Disabilities was adopted on 13 December 2006.
Nimefikiria kuongea kuhusu stretch marks kwa sababu mbali mbali. Stretch marks ni mistari inayoota sehemu yoyote katika mwili wa binaadamu ambayo mafuta mengi yanakaa katika sehemu mbali mbali kama vile {Hips,tumbo,mapaja,chini ya mgongo,nyuma ya magoti,kifuani na kwenye mikono}. Stretch marks mara nyingi huota kutokana na mabadiliko ya hormones kwenye mwili,kipindi cha ukuwaji {adolescence},wakati wa ujauzito na kuongezeka mwili kutokana na unene ambapo ngozi inapanuka. Kwa mama wajawazito mara nyingi wanafanya stretch marks kwenye tumbo kutokana na ukuwaji wa tumbo lake. Watu wengine wanatumia creams mbali mbali na mafuta kama Bio oil na cocoa butter, kwa kweli hakuna dawa au cream ambayo inaondoa stretch marks totally, ila zinafifia tu kwa muda lakini haziondoki. Unaweza ukaziwahi pale zinapoanza kuota kwa kufanya mazoezi na diet nzuri ya kupunguza mafuta. Kwa mujibu wa science stretch marks zinaota pale ngozi ya ndani inapojiacha na kupelekea ngozi ya nje kupanuka bila ya mpangilio maalum. 

SEVERE MORNING SICKNESS TO PREGNANT WOMEN

During first trimester of pregnancy, wanawake wengi wanapata hisia za kichefuchefu na kutapika ambayo inajulikana kama morning sickness. Despite its name Morning sickness, inaweza kutokea muda wowote ikiwa asubuhi, mchana au usiku. Kawaida inatokea week ya 6 ya ujauzito mpaka week ya 9 na inapotea around week ya 16 mpaka 18 lakini pia Morning sickness inajulikana kama afya nzuri wakati wa ujauzito pale unapopata kichefuchefu na kutapika ni ishara za ujauzito kukua vizuri.

WHAT CAUSES NAUSEA AND VOMITING DURING PREGNANCY ?

Kawaida hakuna anaejua kwa uhakika ni kitu gani kinasababisha kutapika katika ujauzito. Kwa hali ya kawaida hii inasababishwa na physical cahnges wakati wa ujauzito. Baadhi ya sababu zinazopelekea kutapika na kuhisi kichefuchefu ni hizi :-

ESTROGEN: Ni hormones ambao huongezeka kwa wingi in early pregnancy na kusababisha kuapika na kuhisi kichefuchefu mara kwa mara.

STRESS: Some of the researchers wamegundua kwamba kutapika na nausea wakati wa ujauzito inasababishwa na stress. And yeah it's true maana pale unapomaliza kutapika pia you become stressed.

WILL NAUSEA AFFECT THE BABY ?

Nausea haisababishi effect yoyote kwa afya mtoto. Kama weight yako haijaongezeka during first trimester sio tatizo as long as you're able to stay hydrated and can keep some food down. Kila ujauzito unapokua na appetite inarudi and you will start gaining weight. 
Ikiwa kichefuchefu kinasababisha kupanguka kwa ratiba yako ya kula vyakula vyenye afya ( Balanced diet ), hakikisha unapata nutrients zote kwa kutumia prenatal vitamin. 

Do you have any suggestions ? Please feel free to share your ideas with us.

READING BOOKS TO BABIES

Unaweza kushangaa ni faida gani zinatokana na kumsomea mtoto kitabu. Mtoto hawezi kufahamu nini unamwambia na nini unafanya pia huwezi kusubiri kumuona mtoto wako anaongea lakini unakuja kushangaa pale mtoto anapoanza kuongea in a way that unamfahamu.
Kusoma kwa sauti kwa mtoto wako is totally a wonderful shared activity that you can continue for years to come. 

FAIDA ZA KUMSOMEA KITABU MTOTO 

  • Unamfunza mtoto njia za mawasiliano.
  • Unamfundisha mtoto numbers, colours, alphabets ans shapes in a fun way.
  • Inajenga usikilizaji, uongeaji, kumbukumbu nzuri nk.
  • Unamjenga mtoto na ufahamu wa kujua vitu vilivyomzunguka, uwezo wa kufikiri na kujibu maswali.
Kawaida mtoto akifikia first birthday anajua almost maneno yote ambayo mengine hawezi kuyatamka vizuri lakini anatumia tone ambayo anafahamika nini anasema. The more stories you read aloud to your kid - the more words anapata kujifunza. Kusikia maneno inamjenga mtoto kuwa na network nzuri ya maneno kwenye ubongo. 

Please feel free to share your thoughts with us.

PREGNANCY FITNESS

Mazoezi ya kila siku katika kipindi cha ujauzito ni muhimu kwa afya ya mama mjamzito ambayo humfanya awe mwepesi, ukuwaji mzuri wa mtoto tumboni na kuongeza nguvu wakati wakujifungua ambapo wanawake wengi hawajui waanzie wapi.
We've got different tips on great pregnancy workouts like dancing, swimming, kutembea (walking) etc. 
Kwa wale beginners wenye ujauzito kuanzia miezi miwili wanaweza kufanya mazoezi kwa dakika 10 at a time mpaka ukifika dakika 30 in all week days or most of them. Kuwa makini unapofanya mazoezi yasiwe mazito mpaka ukahisi joto kali ndani ya mwili. Vyakula vya maji pamoja na matunda ni muhimu sana kwa mama mjamzito as mwili unahitaji approximately 300 extra caloriesn a day kutokana na uzito wa mwili katika kipindi cha ujauzito
Jaribu ku relax wakati wa kufanya mazoezi pia ni muhimu kujificha jua na kuvaa comfortable exercise shoes.

SAFE EXERCISE

Ukiwa mjamzito na mpya kwenye joys of physical fitness, consider :-

Walking:  This activity gets top honors kwa mama wajawazito because it's safe, easy to do na inaongeza cardiovascular fitness — in short, hii ni njia rahisi kama ulikua hufanyi mazoezi kabla ya ujauzito.

Please feel free to share your thoughts with us.

NI UMRI GANI WATOTO WACHANGA WANAACHA MAZIWA YA MAMA NA KUTUMIA MAZIWA YA NG'OMBE ?



Watoto chini ya umri wa mwaka mmoja wanahitaji virutubisho kutoka kwenye maziwa ya mama au formula. Ni vizuri pia mtoto mwenye zaidi ya mwaka mmoja kuendelea kutumia maziwa ya mama. Watu wengi wanawaachisha watoto wao kunyonya mapema na kuanza kuwapa low-fat na skim milk ambayo kiafya sio mazuri kwa watoto chini ya mwaka mmoja kwasababu watoto wanahitaji fat in whole milk kwa ku support normal growth kiakili wakati wanapoanza kutambaa. Katika umri wa mwaka mmoja mtoto anatakiwa aanze kula vyakula mbali mbali ikiwemo kunywa maziwa vikombe 2-3 kwa siku. Ikiwa maziwa ya ng'ombe au formula yanasababisha allergy au other disorders kwa mtoto wako onana na daktari.
What are your thoughts ? Please share with us.

FOOD POISONING

Vyakula karibia vyote vina  virus, bacteria, au vimelea na kusababisha sumu kwenye chakula. Vyakula pia vinaweza kukufanya wewe mgonjwa kama ni machafu na dawa au sumu nyingine
Dalili ya kawaida ya sumu katika chakula ni pamoja na kutapika, kuharisha, tumbo kuuma, kichefuchefu na homa na hii huanza muda mfupi baada ya kula chakula kilichoharibika bila kujua. Kwa watu wengi dalili ni kali na hujitokeza haraka, lakini sumu ya chakula inaweza kusababisha upungufu wa maji mwilini, kushindwa kwa figo na hata kifo.

Vyakula vingi vyenye uwezo wa kusababisha ugonjwa ni pamoja na nyama mbichi au iliyopikwa  (E. coli), nyama ya nguruwe (bakteria na minyoo trichinella), kuku (Salmonella), dagaa ( hepatitis A na virus wengine  na bacteria), na mayai (Salmonella). Matunda na mboga yanaweza pia kuwa machafu na virus kama vile hepatitis A na vimelea. Maziwa yasiochemshwa na juice ya matunda (hasa apple cider) yanaweza pia kuwa machafu.

FOOD SAFETY GUIDE

Ugonjwa unaosababishwa na vyakula vimelea husababisha watu hadi milioni 81 ugonjwa kila mwaka, na karibu  magonjwa 9000 haya kusababisha vifo. Watoto ni miongoni mwa watu wengi ambao wapo katika hatari ya kupata ugonjwa kutokana na sumu ya chakula .
Kumlinda mtoto wako kutokana na wadudu wanaosababisha sumu kwenye chakula, ni muhimu kufanya mazoezi yafuatayo kwa kuhakikisha usalama wa chakula, ambao ni pamoja na kutokumpa mtoto wako chakula kilichopikwa na kuwekwa kwenye fridge kwa muda mrefu ikiwemo nyama, samaki au mayai; kuosha mikono yako na vyombo baada ya kushika kuku alokuwa hajapikwa na nyama ; kuosha matunda na mboga ; usimpe mtoto maziwa yalokuwa hayajachemshwa ; epuka kumpa  samaki wasiojulikana; si vyema kumpa mtoto hamburgers iwe ni mara chache tu ; chakula kilichobaki kwenye fridge na kilokaa kwenye joto la kawaida kwa masaa kadhaa sio kizuri kumpa mtoto.

FOOD PYRAMID


Pyramid ya Chakula ni juu ya makundi matano makubwa ya chakula, ambayo yote yanahitajika kwa ajili ya afya njema. Pia inasisitizwa kwamba vyakula vyenye  mafuta mengi na sukari vinatakiwa kutumiwa kwa kiasi kidogo.
Ingawa watu wengi wanapata msaada wa pyramid ya chakula, wengine wanafikiri kwamba ni vigumu kuelewa na inaweza hata kuwa moja ya sababu ya matatizo kwa watoto.
Nyama, Kuku, na Samaki  inatoa mfano mwingine nzuri na kile kinachotokana na vyakula mchanganyiko, kama pizza. Kwa mfano, kumpa mtoto pizza bila kuhesabu  kundi nafaka (mkusanyiko), kundi maziwa (cheese), na kundi mboga (nyanya).
Kama unaweza kuona, ni haraka mtu anapata utata wakati akijaribu kufikiri jinsi ya kiasi gani mtoto wake anakula kama unatumia Pyramid ya chakula kama mwongozo wa mipango ya mlo wa mtoto wako.

CONSTIPATION

100 %  remedy  for  constipation, try.

PIMPLES

CHUNUSI, PIMPLES OR ACNE

Chunusi ni ugonjwa wa ngozi unaoathiri glands or vifuko vya ngozi, ambao hujitokeza kama vipele vidogo vidogo kwenye sehemu za mwili kama vile {Usoni,kifuani,mikononi na mgongoni}.Vipele hivi hutokea wakati vishimo vya kupitisha jasho kwenye vinapozibwa na mafuta au cells za ngozi zinapokufa kwa bacteria.
Chunusi hujitokeza umri wowote na kuathiri sana vijana especially during adolescence.
Ukubwa wa kipele unategemea na ngozi ya mtu au kiasi cha mchanganyiko wa mafuta na kusababisha mabaka katika ngozi.

CHANZO CHA CHUNUSI

  • Umri
  • Vipodozi
  • Chakula
  • Dawa {Antibiotics,vidonge vya uzazi,steroids nk.}
  • Magonjwa
  • Mazingira
  • Jinsia {Wanaume huota sana chunusi kuliko wanawake}
  • Hormones {Wakati wa periods na ujauzito}
  • Usafi wa mwili {Sabuni zenye chemicals kali huongeza chunusi}
  • Mawazo 


Matibabu ya chunusi yanaondoa cells zilizokufa na kuua bacteria. Chunusi huweza kupona kwa kuacha mabaka ambayo huchukua muda kupotea.

NJIA ZA KUZUIA UOTAJI WA CHUNUSI


  • Osha uso kwa maji safi na sabuni japo mara mbili
  • Osha nywele zako kila baada ya kipindi kifupi
  • Kula mlo kamili na epuka vyakula vyenye mafuta mengi
  • Usibinye au kutoboa vipele kwa pini au kitu chenye ncha kali
  • Epuka kukaa sana juani, mwangaza wa asubuhi ni mzuri kwa vitamin D
  • Punguza mawazo.

STRETCH MARKS



Nimefikiria kuongea kuhusu stretch marks kwa sababu mbali mbali. Stretch marks ni mistari inayoota sehemu yoyote katika mwili wa binaadamu ambayo mafuta mengi yanakaa katika sehemu mbali mbali kama vile {Hips,tumbo,mapaja,chini ya mgongo,nyuma ya magoti,kifuani na kwenye mikono}. Stretch marks mara nyingi huota kutokana na mabadiliko ya hormones kwenye mwili,kipindi cha ukuwaji {adolescence},wakati wa ujauzito na kuongezeka mwili kutokana na unene ambapo ngozi inapanuka. Kwa mama wajawazito mara nyingi wanafanya stretch marks kwenye tumbo kutokana na ukuwaji wa tumbo lake. Watu wengine wanatumia creams mbali mbali na mafuta ya Bio oil, kwa kweli hakuna dawa au cream ambayo inaondoa stretch marks totally, ila zinafifia tu kwa muda lakini haziondoki. Unaweza ukaziwahi pale zinapoanza kuota kwa kufanya mazoezi na diet nzuri ya kupunguza mafuta. Kwa mujibu wa science stretch marks zinaota pale ngozi ya ndani inapojiacha na kupelekea ngozi ya nje kupanuka bila ya mpangilio maalum. 

Total views

Showing posts with label Fatma Said Ahmed. Show all posts
Showing posts with label Fatma Said Ahmed. Show all posts

Thursday, 25 February 2016

The Global Goals

QUIZ: Which of the #GlobalGoals does our #SRH work help to advance, and how? Hint: There's more than one! #SRHR

Wednesday, 25 March 2015

Stand For Humanity

I can’t think of any issue that is more important than working to see that no schoolchild in this world goes hungry.
Deaf,Blind and Dumb kids
#WeRiseByLiftingOthers
#stand_for_humanity

Wednesday, 11 March 2015

MSIKILIZE MTOTO WAKO

Ukisikiliza watoto unawaambia umuhimu wao.
Tafuta wakati wa kusikiliza maoni wa watoto.
Saa nyengine watoto hawaongei kwa sababu hawapatiwi fursa. Jaribu kuhakikisha kuna wakati na nafasi ya kila mtu katika jamii kuongea na pia kusikilizwa.
Sikiliza pia maneno ambayo hayasemekani. Kwa wengi, tabia huongea zaidi ya maneno. Je, mtoto ana jaribu kukuambia nini?
Sikiliza na shauri. Mpatie mtoto wako wakati wa kukuambia kisa au maneno yake.
Saidia watoto wako kutamka fikra na hisia zao kwa kuwasaidia kutafuta maneno au jinsi ya kuwasiliana na wewe.

Friday, 7 November 2014

Transforming Lives

GINGER FARMING TAKES OFF AND PAYS OFF IN GUINEA

Crop brings profits to struggling farmers.

“Ginger growing has made me a well-respected man in the community because I can afford to feed my family and send my kids to school.”


Nov. 2014—In southern Guinea, many poor families have a small amount of land to grow food and constantly struggle to feed themselves. Telimélé's climate is tropical and humid, with regular rainfall during the growing season. The main economic agricultural activity is pepper farming. However, the environment is perfect for another crop with export potential—ginger.
To make the most of the ideal features of the area, in December 2011, USAID sponsored the creation of a ginger farming microenterprise in the region. Ginger is attractive because it requires little farm land, has production expansion potential, and is a lucrative crop that can increase economic opportunities for the community.
Farmers’ groups received improved seed varieties and appropriate training to grow
ginger on land loaned by a member of the microenterprise or a private owner with the help of the implementing partner and local authorities. Basic processing and storage facilities and a warehouse help farmers make the most of their harvests.
Today, ginger cultivation is helping individuals from different villages lift themselves and their families out of poverty. The business is growing quickly and has already surpassed pepper farming. Ginger is exported to Senegal, Guinea Bissau and other regions in Guinea. Farmers are using the proceeds to help members access credit, manage loans, and set up their own small businesses. The transparency in managing proceeds and expenditures is praised by the 94 members of the microenterprise, including 68 women. Each member makes an annual profit of about $2,057 (1,440,000 Guinean francs) and about 65 households directly benefit from the microenterprise.
“Ginger growing has made me a well-respected man in the community because I can afford to feed my family and send my kids to school. Our lives have improved,” says Mamadou Oury Diallo.
The effort is part of USAID's Rural Micro enterprise Development Guinea project, which runs from December 2011 to November 2015 and is designed to promote the expansion of economic activities to improve the standard of living for 772 households, including entrepreneurial women. Since its launch, the project has identified ways to improve the value and marketing of seven rural micro enterprises in Guinea's Fouta Djallon Highlands.

Monday, 18 August 2014

Human Rights

                                A school girl at the Sitara School in Kabul pushes her classmate, a double-                                leg land-mine amputee in a wheelchair. The Convention on the Rights of                                 Persons with Disabilities was adopted on 13 December 2006.

Wednesday, 14 May 2014

Nimefikiria kuongea kuhusu stretch marks kwa sababu mbali mbali. Stretch marks ni mistari inayoota sehemu yoyote katika mwili wa binaadamu ambayo mafuta mengi yanakaa katika sehemu mbali mbali kama vile {Hips,tumbo,mapaja,chini ya mgongo,nyuma ya magoti,kifuani na kwenye mikono}. Stretch marks mara nyingi huota kutokana na mabadiliko ya hormones kwenye mwili,kipindi cha ukuwaji {adolescence},wakati wa ujauzito na kuongezeka mwili kutokana na unene ambapo ngozi inapanuka. Kwa mama wajawazito mara nyingi wanafanya stretch marks kwenye tumbo kutokana na ukuwaji wa tumbo lake. Watu wengine wanatumia creams mbali mbali na mafuta kama Bio oil na cocoa butter, kwa kweli hakuna dawa au cream ambayo inaondoa stretch marks totally, ila zinafifia tu kwa muda lakini haziondoki. Unaweza ukaziwahi pale zinapoanza kuota kwa kufanya mazoezi na diet nzuri ya kupunguza mafuta. Kwa mujibu wa science stretch marks zinaota pale ngozi ya ndani inapojiacha na kupelekea ngozi ya nje kupanuka bila ya mpangilio maalum. 

Tuesday, 22 April 2014

SEVERE MORNING SICKNESS TO PREGNANT WOMEN

During first trimester of pregnancy, wanawake wengi wanapata hisia za kichefuchefu na kutapika ambayo inajulikana kama morning sickness. Despite its name Morning sickness, inaweza kutokea muda wowote ikiwa asubuhi, mchana au usiku. Kawaida inatokea week ya 6 ya ujauzito mpaka week ya 9 na inapotea around week ya 16 mpaka 18 lakini pia Morning sickness inajulikana kama afya nzuri wakati wa ujauzito pale unapopata kichefuchefu na kutapika ni ishara za ujauzito kukua vizuri.

WHAT CAUSES NAUSEA AND VOMITING DURING PREGNANCY ?

Kawaida hakuna anaejua kwa uhakika ni kitu gani kinasababisha kutapika katika ujauzito. Kwa hali ya kawaida hii inasababishwa na physical cahnges wakati wa ujauzito. Baadhi ya sababu zinazopelekea kutapika na kuhisi kichefuchefu ni hizi :-

ESTROGEN: Ni hormones ambao huongezeka kwa wingi in early pregnancy na kusababisha kuapika na kuhisi kichefuchefu mara kwa mara.

STRESS: Some of the researchers wamegundua kwamba kutapika na nausea wakati wa ujauzito inasababishwa na stress. And yeah it's true maana pale unapomaliza kutapika pia you become stressed.

WILL NAUSEA AFFECT THE BABY ?

Nausea haisababishi effect yoyote kwa afya mtoto. Kama weight yako haijaongezeka during first trimester sio tatizo as long as you're able to stay hydrated and can keep some food down. Kila ujauzito unapokua na appetite inarudi and you will start gaining weight. 
Ikiwa kichefuchefu kinasababisha kupanguka kwa ratiba yako ya kula vyakula vyenye afya ( Balanced diet ), hakikisha unapata nutrients zote kwa kutumia prenatal vitamin. 

Do you have any suggestions ? Please feel free to share your ideas with us.

Friday, 18 April 2014

READING BOOKS TO BABIES

Unaweza kushangaa ni faida gani zinatokana na kumsomea mtoto kitabu. Mtoto hawezi kufahamu nini unamwambia na nini unafanya pia huwezi kusubiri kumuona mtoto wako anaongea lakini unakuja kushangaa pale mtoto anapoanza kuongea in a way that unamfahamu.
Kusoma kwa sauti kwa mtoto wako is totally a wonderful shared activity that you can continue for years to come. 

FAIDA ZA KUMSOMEA KITABU MTOTO 

  • Unamfunza mtoto njia za mawasiliano.
  • Unamfundisha mtoto numbers, colours, alphabets ans shapes in a fun way.
  • Inajenga usikilizaji, uongeaji, kumbukumbu nzuri nk.
  • Unamjenga mtoto na ufahamu wa kujua vitu vilivyomzunguka, uwezo wa kufikiri na kujibu maswali.
Kawaida mtoto akifikia first birthday anajua almost maneno yote ambayo mengine hawezi kuyatamka vizuri lakini anatumia tone ambayo anafahamika nini anasema. The more stories you read aloud to your kid - the more words anapata kujifunza. Kusikia maneno inamjenga mtoto kuwa na network nzuri ya maneno kwenye ubongo. 

Please feel free to share your thoughts with us.

PREGNANCY FITNESS

Mazoezi ya kila siku katika kipindi cha ujauzito ni muhimu kwa afya ya mama mjamzito ambayo humfanya awe mwepesi, ukuwaji mzuri wa mtoto tumboni na kuongeza nguvu wakati wakujifungua ambapo wanawake wengi hawajui waanzie wapi.
We've got different tips on great pregnancy workouts like dancing, swimming, kutembea (walking) etc. 
Kwa wale beginners wenye ujauzito kuanzia miezi miwili wanaweza kufanya mazoezi kwa dakika 10 at a time mpaka ukifika dakika 30 in all week days or most of them. Kuwa makini unapofanya mazoezi yasiwe mazito mpaka ukahisi joto kali ndani ya mwili. Vyakula vya maji pamoja na matunda ni muhimu sana kwa mama mjamzito as mwili unahitaji approximately 300 extra caloriesn a day kutokana na uzito wa mwili katika kipindi cha ujauzito
Jaribu ku relax wakati wa kufanya mazoezi pia ni muhimu kujificha jua na kuvaa comfortable exercise shoes.

SAFE EXERCISE

Ukiwa mjamzito na mpya kwenye joys of physical fitness, consider :-

Walking:  This activity gets top honors kwa mama wajawazito because it's safe, easy to do na inaongeza cardiovascular fitness — in short, hii ni njia rahisi kama ulikua hufanyi mazoezi kabla ya ujauzito.

Please feel free to share your thoughts with us.

NI UMRI GANI WATOTO WACHANGA WANAACHA MAZIWA YA MAMA NA KUTUMIA MAZIWA YA NG'OMBE ?



Watoto chini ya umri wa mwaka mmoja wanahitaji virutubisho kutoka kwenye maziwa ya mama au formula. Ni vizuri pia mtoto mwenye zaidi ya mwaka mmoja kuendelea kutumia maziwa ya mama. Watu wengi wanawaachisha watoto wao kunyonya mapema na kuanza kuwapa low-fat na skim milk ambayo kiafya sio mazuri kwa watoto chini ya mwaka mmoja kwasababu watoto wanahitaji fat in whole milk kwa ku support normal growth kiakili wakati wanapoanza kutambaa. Katika umri wa mwaka mmoja mtoto anatakiwa aanze kula vyakula mbali mbali ikiwemo kunywa maziwa vikombe 2-3 kwa siku. Ikiwa maziwa ya ng'ombe au formula yanasababisha allergy au other disorders kwa mtoto wako onana na daktari.
What are your thoughts ? Please share with us.

Wednesday, 27 November 2013

FOOD POISONING

Vyakula karibia vyote vina  virus, bacteria, au vimelea na kusababisha sumu kwenye chakula. Vyakula pia vinaweza kukufanya wewe mgonjwa kama ni machafu na dawa au sumu nyingine
Dalili ya kawaida ya sumu katika chakula ni pamoja na kutapika, kuharisha, tumbo kuuma, kichefuchefu na homa na hii huanza muda mfupi baada ya kula chakula kilichoharibika bila kujua. Kwa watu wengi dalili ni kali na hujitokeza haraka, lakini sumu ya chakula inaweza kusababisha upungufu wa maji mwilini, kushindwa kwa figo na hata kifo.

Vyakula vingi vyenye uwezo wa kusababisha ugonjwa ni pamoja na nyama mbichi au iliyopikwa  (E. coli), nyama ya nguruwe (bakteria na minyoo trichinella), kuku (Salmonella), dagaa ( hepatitis A na virus wengine  na bacteria), na mayai (Salmonella). Matunda na mboga yanaweza pia kuwa machafu na virus kama vile hepatitis A na vimelea. Maziwa yasiochemshwa na juice ya matunda (hasa apple cider) yanaweza pia kuwa machafu.

FOOD SAFETY GUIDE

Ugonjwa unaosababishwa na vyakula vimelea husababisha watu hadi milioni 81 ugonjwa kila mwaka, na karibu  magonjwa 9000 haya kusababisha vifo. Watoto ni miongoni mwa watu wengi ambao wapo katika hatari ya kupata ugonjwa kutokana na sumu ya chakula .
Kumlinda mtoto wako kutokana na wadudu wanaosababisha sumu kwenye chakula, ni muhimu kufanya mazoezi yafuatayo kwa kuhakikisha usalama wa chakula, ambao ni pamoja na kutokumpa mtoto wako chakula kilichopikwa na kuwekwa kwenye fridge kwa muda mrefu ikiwemo nyama, samaki au mayai; kuosha mikono yako na vyombo baada ya kushika kuku alokuwa hajapikwa na nyama ; kuosha matunda na mboga ; usimpe mtoto maziwa yalokuwa hayajachemshwa ; epuka kumpa  samaki wasiojulikana; si vyema kumpa mtoto hamburgers iwe ni mara chache tu ; chakula kilichobaki kwenye fridge na kilokaa kwenye joto la kawaida kwa masaa kadhaa sio kizuri kumpa mtoto.

FOOD PYRAMID


Pyramid ya Chakula ni juu ya makundi matano makubwa ya chakula, ambayo yote yanahitajika kwa ajili ya afya njema. Pia inasisitizwa kwamba vyakula vyenye  mafuta mengi na sukari vinatakiwa kutumiwa kwa kiasi kidogo.
Ingawa watu wengi wanapata msaada wa pyramid ya chakula, wengine wanafikiri kwamba ni vigumu kuelewa na inaweza hata kuwa moja ya sababu ya matatizo kwa watoto.
Nyama, Kuku, na Samaki  inatoa mfano mwingine nzuri na kile kinachotokana na vyakula mchanganyiko, kama pizza. Kwa mfano, kumpa mtoto pizza bila kuhesabu  kundi nafaka (mkusanyiko), kundi maziwa (cheese), na kundi mboga (nyanya).
Kama unaweza kuona, ni haraka mtu anapata utata wakati akijaribu kufikiri jinsi ya kiasi gani mtoto wake anakula kama unatumia Pyramid ya chakula kama mwongozo wa mipango ya mlo wa mtoto wako.

Thursday, 7 November 2013

CONSTIPATION

100 %  remedy  for  constipation, try.

Sunday, 3 November 2013

PIMPLES

CHUNUSI, PIMPLES OR ACNE

Chunusi ni ugonjwa wa ngozi unaoathiri glands or vifuko vya ngozi, ambao hujitokeza kama vipele vidogo vidogo kwenye sehemu za mwili kama vile {Usoni,kifuani,mikononi na mgongoni}.Vipele hivi hutokea wakati vishimo vya kupitisha jasho kwenye vinapozibwa na mafuta au cells za ngozi zinapokufa kwa bacteria.
Chunusi hujitokeza umri wowote na kuathiri sana vijana especially during adolescence.
Ukubwa wa kipele unategemea na ngozi ya mtu au kiasi cha mchanganyiko wa mafuta na kusababisha mabaka katika ngozi.

CHANZO CHA CHUNUSI

  • Umri
  • Vipodozi
  • Chakula
  • Dawa {Antibiotics,vidonge vya uzazi,steroids nk.}
  • Magonjwa
  • Mazingira
  • Jinsia {Wanaume huota sana chunusi kuliko wanawake}
  • Hormones {Wakati wa periods na ujauzito}
  • Usafi wa mwili {Sabuni zenye chemicals kali huongeza chunusi}
  • Mawazo 


Matibabu ya chunusi yanaondoa cells zilizokufa na kuua bacteria. Chunusi huweza kupona kwa kuacha mabaka ambayo huchukua muda kupotea.

NJIA ZA KUZUIA UOTAJI WA CHUNUSI


  • Osha uso kwa maji safi na sabuni japo mara mbili
  • Osha nywele zako kila baada ya kipindi kifupi
  • Kula mlo kamili na epuka vyakula vyenye mafuta mengi
  • Usibinye au kutoboa vipele kwa pini au kitu chenye ncha kali
  • Epuka kukaa sana juani, mwangaza wa asubuhi ni mzuri kwa vitamin D
  • Punguza mawazo.

STRETCH MARKS



Nimefikiria kuongea kuhusu stretch marks kwa sababu mbali mbali. Stretch marks ni mistari inayoota sehemu yoyote katika mwili wa binaadamu ambayo mafuta mengi yanakaa katika sehemu mbali mbali kama vile {Hips,tumbo,mapaja,chini ya mgongo,nyuma ya magoti,kifuani na kwenye mikono}. Stretch marks mara nyingi huota kutokana na mabadiliko ya hormones kwenye mwili,kipindi cha ukuwaji {adolescence},wakati wa ujauzito na kuongezeka mwili kutokana na unene ambapo ngozi inapanuka. Kwa mama wajawazito mara nyingi wanafanya stretch marks kwenye tumbo kutokana na ukuwaji wa tumbo lake. Watu wengine wanatumia creams mbali mbali na mafuta ya Bio oil, kwa kweli hakuna dawa au cream ambayo inaondoa stretch marks totally, ila zinafifia tu kwa muda lakini haziondoki. Unaweza ukaziwahi pale zinapoanza kuota kwa kufanya mazoezi na diet nzuri ya kupunguza mafuta. Kwa mujibu wa science stretch marks zinaota pale ngozi ya ndani inapojiacha na kupelekea ngozi ya nje kupanuka bila ya mpangilio maalum. 

Social Icons

Showing posts with label Fatma Said Ahmed. Show all posts
Showing posts with label Fatma Said Ahmed. Show all posts

The Global Goals

QUIZ: Which of the #GlobalGoals does our #SRH work help to advance, and how? Hint: There's more than one! #SRHR

Stand For Humanity

I can’t think of any issue that is more important than working to see that no schoolchild in this world goes hungry.
Deaf,Blind and Dumb kids
#WeRiseByLiftingOthers
#stand_for_humanity

MSIKILIZE MTOTO WAKO

Ukisikiliza watoto unawaambia umuhimu wao.
Tafuta wakati wa kusikiliza maoni wa watoto.
Saa nyengine watoto hawaongei kwa sababu hawapatiwi fursa. Jaribu kuhakikisha kuna wakati na nafasi ya kila mtu katika jamii kuongea na pia kusikilizwa.
Sikiliza pia maneno ambayo hayasemekani. Kwa wengi, tabia huongea zaidi ya maneno. Je, mtoto ana jaribu kukuambia nini?
Sikiliza na shauri. Mpatie mtoto wako wakati wa kukuambia kisa au maneno yake.
Saidia watoto wako kutamka fikra na hisia zao kwa kuwasaidia kutafuta maneno au jinsi ya kuwasiliana na wewe.

Transforming Lives

GINGER FARMING TAKES OFF AND PAYS OFF IN GUINEA

Crop brings profits to struggling farmers.

“Ginger growing has made me a well-respected man in the community because I can afford to feed my family and send my kids to school.”


Nov. 2014—In southern Guinea, many poor families have a small amount of land to grow food and constantly struggle to feed themselves. Telimélé's climate is tropical and humid, with regular rainfall during the growing season. The main economic agricultural activity is pepper farming. However, the environment is perfect for another crop with export potential—ginger.
To make the most of the ideal features of the area, in December 2011, USAID sponsored the creation of a ginger farming microenterprise in the region. Ginger is attractive because it requires little farm land, has production expansion potential, and is a lucrative crop that can increase economic opportunities for the community.
Farmers’ groups received improved seed varieties and appropriate training to grow
ginger on land loaned by a member of the microenterprise or a private owner with the help of the implementing partner and local authorities. Basic processing and storage facilities and a warehouse help farmers make the most of their harvests.
Today, ginger cultivation is helping individuals from different villages lift themselves and their families out of poverty. The business is growing quickly and has already surpassed pepper farming. Ginger is exported to Senegal, Guinea Bissau and other regions in Guinea. Farmers are using the proceeds to help members access credit, manage loans, and set up their own small businesses. The transparency in managing proceeds and expenditures is praised by the 94 members of the microenterprise, including 68 women. Each member makes an annual profit of about $2,057 (1,440,000 Guinean francs) and about 65 households directly benefit from the microenterprise.
“Ginger growing has made me a well-respected man in the community because I can afford to feed my family and send my kids to school. Our lives have improved,” says Mamadou Oury Diallo.
The effort is part of USAID's Rural Micro enterprise Development Guinea project, which runs from December 2011 to November 2015 and is designed to promote the expansion of economic activities to improve the standard of living for 772 households, including entrepreneurial women. Since its launch, the project has identified ways to improve the value and marketing of seven rural micro enterprises in Guinea's Fouta Djallon Highlands.

Human Rights

                                A school girl at the Sitara School in Kabul pushes her classmate, a double-                                leg land-mine amputee in a wheelchair. The Convention on the Rights of                                 Persons with Disabilities was adopted on 13 December 2006.
Nimefikiria kuongea kuhusu stretch marks kwa sababu mbali mbali. Stretch marks ni mistari inayoota sehemu yoyote katika mwili wa binaadamu ambayo mafuta mengi yanakaa katika sehemu mbali mbali kama vile {Hips,tumbo,mapaja,chini ya mgongo,nyuma ya magoti,kifuani na kwenye mikono}. Stretch marks mara nyingi huota kutokana na mabadiliko ya hormones kwenye mwili,kipindi cha ukuwaji {adolescence},wakati wa ujauzito na kuongezeka mwili kutokana na unene ambapo ngozi inapanuka. Kwa mama wajawazito mara nyingi wanafanya stretch marks kwenye tumbo kutokana na ukuwaji wa tumbo lake. Watu wengine wanatumia creams mbali mbali na mafuta kama Bio oil na cocoa butter, kwa kweli hakuna dawa au cream ambayo inaondoa stretch marks totally, ila zinafifia tu kwa muda lakini haziondoki. Unaweza ukaziwahi pale zinapoanza kuota kwa kufanya mazoezi na diet nzuri ya kupunguza mafuta. Kwa mujibu wa science stretch marks zinaota pale ngozi ya ndani inapojiacha na kupelekea ngozi ya nje kupanuka bila ya mpangilio maalum. 

SEVERE MORNING SICKNESS TO PREGNANT WOMEN

During first trimester of pregnancy, wanawake wengi wanapata hisia za kichefuchefu na kutapika ambayo inajulikana kama morning sickness. Despite its name Morning sickness, inaweza kutokea muda wowote ikiwa asubuhi, mchana au usiku. Kawaida inatokea week ya 6 ya ujauzito mpaka week ya 9 na inapotea around week ya 16 mpaka 18 lakini pia Morning sickness inajulikana kama afya nzuri wakati wa ujauzito pale unapopata kichefuchefu na kutapika ni ishara za ujauzito kukua vizuri.

WHAT CAUSES NAUSEA AND VOMITING DURING PREGNANCY ?

Kawaida hakuna anaejua kwa uhakika ni kitu gani kinasababisha kutapika katika ujauzito. Kwa hali ya kawaida hii inasababishwa na physical cahnges wakati wa ujauzito. Baadhi ya sababu zinazopelekea kutapika na kuhisi kichefuchefu ni hizi :-

ESTROGEN: Ni hormones ambao huongezeka kwa wingi in early pregnancy na kusababisha kuapika na kuhisi kichefuchefu mara kwa mara.

STRESS: Some of the researchers wamegundua kwamba kutapika na nausea wakati wa ujauzito inasababishwa na stress. And yeah it's true maana pale unapomaliza kutapika pia you become stressed.

WILL NAUSEA AFFECT THE BABY ?

Nausea haisababishi effect yoyote kwa afya mtoto. Kama weight yako haijaongezeka during first trimester sio tatizo as long as you're able to stay hydrated and can keep some food down. Kila ujauzito unapokua na appetite inarudi and you will start gaining weight. 
Ikiwa kichefuchefu kinasababisha kupanguka kwa ratiba yako ya kula vyakula vyenye afya ( Balanced diet ), hakikisha unapata nutrients zote kwa kutumia prenatal vitamin. 

Do you have any suggestions ? Please feel free to share your ideas with us.

READING BOOKS TO BABIES

Unaweza kushangaa ni faida gani zinatokana na kumsomea mtoto kitabu. Mtoto hawezi kufahamu nini unamwambia na nini unafanya pia huwezi kusubiri kumuona mtoto wako anaongea lakini unakuja kushangaa pale mtoto anapoanza kuongea in a way that unamfahamu.
Kusoma kwa sauti kwa mtoto wako is totally a wonderful shared activity that you can continue for years to come. 

FAIDA ZA KUMSOMEA KITABU MTOTO 

  • Unamfunza mtoto njia za mawasiliano.
  • Unamfundisha mtoto numbers, colours, alphabets ans shapes in a fun way.
  • Inajenga usikilizaji, uongeaji, kumbukumbu nzuri nk.
  • Unamjenga mtoto na ufahamu wa kujua vitu vilivyomzunguka, uwezo wa kufikiri na kujibu maswali.
Kawaida mtoto akifikia first birthday anajua almost maneno yote ambayo mengine hawezi kuyatamka vizuri lakini anatumia tone ambayo anafahamika nini anasema. The more stories you read aloud to your kid - the more words anapata kujifunza. Kusikia maneno inamjenga mtoto kuwa na network nzuri ya maneno kwenye ubongo. 

Please feel free to share your thoughts with us.

PREGNANCY FITNESS

Mazoezi ya kila siku katika kipindi cha ujauzito ni muhimu kwa afya ya mama mjamzito ambayo humfanya awe mwepesi, ukuwaji mzuri wa mtoto tumboni na kuongeza nguvu wakati wakujifungua ambapo wanawake wengi hawajui waanzie wapi.
We've got different tips on great pregnancy workouts like dancing, swimming, kutembea (walking) etc. 
Kwa wale beginners wenye ujauzito kuanzia miezi miwili wanaweza kufanya mazoezi kwa dakika 10 at a time mpaka ukifika dakika 30 in all week days or most of them. Kuwa makini unapofanya mazoezi yasiwe mazito mpaka ukahisi joto kali ndani ya mwili. Vyakula vya maji pamoja na matunda ni muhimu sana kwa mama mjamzito as mwili unahitaji approximately 300 extra caloriesn a day kutokana na uzito wa mwili katika kipindi cha ujauzito
Jaribu ku relax wakati wa kufanya mazoezi pia ni muhimu kujificha jua na kuvaa comfortable exercise shoes.

SAFE EXERCISE

Ukiwa mjamzito na mpya kwenye joys of physical fitness, consider :-

Walking:  This activity gets top honors kwa mama wajawazito because it's safe, easy to do na inaongeza cardiovascular fitness — in short, hii ni njia rahisi kama ulikua hufanyi mazoezi kabla ya ujauzito.

Please feel free to share your thoughts with us.

NI UMRI GANI WATOTO WACHANGA WANAACHA MAZIWA YA MAMA NA KUTUMIA MAZIWA YA NG'OMBE ?



Watoto chini ya umri wa mwaka mmoja wanahitaji virutubisho kutoka kwenye maziwa ya mama au formula. Ni vizuri pia mtoto mwenye zaidi ya mwaka mmoja kuendelea kutumia maziwa ya mama. Watu wengi wanawaachisha watoto wao kunyonya mapema na kuanza kuwapa low-fat na skim milk ambayo kiafya sio mazuri kwa watoto chini ya mwaka mmoja kwasababu watoto wanahitaji fat in whole milk kwa ku support normal growth kiakili wakati wanapoanza kutambaa. Katika umri wa mwaka mmoja mtoto anatakiwa aanze kula vyakula mbali mbali ikiwemo kunywa maziwa vikombe 2-3 kwa siku. Ikiwa maziwa ya ng'ombe au formula yanasababisha allergy au other disorders kwa mtoto wako onana na daktari.
What are your thoughts ? Please share with us.

FOOD POISONING

Vyakula karibia vyote vina  virus, bacteria, au vimelea na kusababisha sumu kwenye chakula. Vyakula pia vinaweza kukufanya wewe mgonjwa kama ni machafu na dawa au sumu nyingine
Dalili ya kawaida ya sumu katika chakula ni pamoja na kutapika, kuharisha, tumbo kuuma, kichefuchefu na homa na hii huanza muda mfupi baada ya kula chakula kilichoharibika bila kujua. Kwa watu wengi dalili ni kali na hujitokeza haraka, lakini sumu ya chakula inaweza kusababisha upungufu wa maji mwilini, kushindwa kwa figo na hata kifo.

Vyakula vingi vyenye uwezo wa kusababisha ugonjwa ni pamoja na nyama mbichi au iliyopikwa  (E. coli), nyama ya nguruwe (bakteria na minyoo trichinella), kuku (Salmonella), dagaa ( hepatitis A na virus wengine  na bacteria), na mayai (Salmonella). Matunda na mboga yanaweza pia kuwa machafu na virus kama vile hepatitis A na vimelea. Maziwa yasiochemshwa na juice ya matunda (hasa apple cider) yanaweza pia kuwa machafu.

FOOD SAFETY GUIDE

Ugonjwa unaosababishwa na vyakula vimelea husababisha watu hadi milioni 81 ugonjwa kila mwaka, na karibu  magonjwa 9000 haya kusababisha vifo. Watoto ni miongoni mwa watu wengi ambao wapo katika hatari ya kupata ugonjwa kutokana na sumu ya chakula .
Kumlinda mtoto wako kutokana na wadudu wanaosababisha sumu kwenye chakula, ni muhimu kufanya mazoezi yafuatayo kwa kuhakikisha usalama wa chakula, ambao ni pamoja na kutokumpa mtoto wako chakula kilichopikwa na kuwekwa kwenye fridge kwa muda mrefu ikiwemo nyama, samaki au mayai; kuosha mikono yako na vyombo baada ya kushika kuku alokuwa hajapikwa na nyama ; kuosha matunda na mboga ; usimpe mtoto maziwa yalokuwa hayajachemshwa ; epuka kumpa  samaki wasiojulikana; si vyema kumpa mtoto hamburgers iwe ni mara chache tu ; chakula kilichobaki kwenye fridge na kilokaa kwenye joto la kawaida kwa masaa kadhaa sio kizuri kumpa mtoto.

FOOD PYRAMID


Pyramid ya Chakula ni juu ya makundi matano makubwa ya chakula, ambayo yote yanahitajika kwa ajili ya afya njema. Pia inasisitizwa kwamba vyakula vyenye  mafuta mengi na sukari vinatakiwa kutumiwa kwa kiasi kidogo.
Ingawa watu wengi wanapata msaada wa pyramid ya chakula, wengine wanafikiri kwamba ni vigumu kuelewa na inaweza hata kuwa moja ya sababu ya matatizo kwa watoto.
Nyama, Kuku, na Samaki  inatoa mfano mwingine nzuri na kile kinachotokana na vyakula mchanganyiko, kama pizza. Kwa mfano, kumpa mtoto pizza bila kuhesabu  kundi nafaka (mkusanyiko), kundi maziwa (cheese), na kundi mboga (nyanya).
Kama unaweza kuona, ni haraka mtu anapata utata wakati akijaribu kufikiri jinsi ya kiasi gani mtoto wake anakula kama unatumia Pyramid ya chakula kama mwongozo wa mipango ya mlo wa mtoto wako.

CONSTIPATION

100 %  remedy  for  constipation, try.

PIMPLES

CHUNUSI, PIMPLES OR ACNE

Chunusi ni ugonjwa wa ngozi unaoathiri glands or vifuko vya ngozi, ambao hujitokeza kama vipele vidogo vidogo kwenye sehemu za mwili kama vile {Usoni,kifuani,mikononi na mgongoni}.Vipele hivi hutokea wakati vishimo vya kupitisha jasho kwenye vinapozibwa na mafuta au cells za ngozi zinapokufa kwa bacteria.
Chunusi hujitokeza umri wowote na kuathiri sana vijana especially during adolescence.
Ukubwa wa kipele unategemea na ngozi ya mtu au kiasi cha mchanganyiko wa mafuta na kusababisha mabaka katika ngozi.

CHANZO CHA CHUNUSI

  • Umri
  • Vipodozi
  • Chakula
  • Dawa {Antibiotics,vidonge vya uzazi,steroids nk.}
  • Magonjwa
  • Mazingira
  • Jinsia {Wanaume huota sana chunusi kuliko wanawake}
  • Hormones {Wakati wa periods na ujauzito}
  • Usafi wa mwili {Sabuni zenye chemicals kali huongeza chunusi}
  • Mawazo 


Matibabu ya chunusi yanaondoa cells zilizokufa na kuua bacteria. Chunusi huweza kupona kwa kuacha mabaka ambayo huchukua muda kupotea.

NJIA ZA KUZUIA UOTAJI WA CHUNUSI


  • Osha uso kwa maji safi na sabuni japo mara mbili
  • Osha nywele zako kila baada ya kipindi kifupi
  • Kula mlo kamili na epuka vyakula vyenye mafuta mengi
  • Usibinye au kutoboa vipele kwa pini au kitu chenye ncha kali
  • Epuka kukaa sana juani, mwangaza wa asubuhi ni mzuri kwa vitamin D
  • Punguza mawazo.

STRETCH MARKS



Nimefikiria kuongea kuhusu stretch marks kwa sababu mbali mbali. Stretch marks ni mistari inayoota sehemu yoyote katika mwili wa binaadamu ambayo mafuta mengi yanakaa katika sehemu mbali mbali kama vile {Hips,tumbo,mapaja,chini ya mgongo,nyuma ya magoti,kifuani na kwenye mikono}. Stretch marks mara nyingi huota kutokana na mabadiliko ya hormones kwenye mwili,kipindi cha ukuwaji {adolescence},wakati wa ujauzito na kuongezeka mwili kutokana na unene ambapo ngozi inapanuka. Kwa mama wajawazito mara nyingi wanafanya stretch marks kwenye tumbo kutokana na ukuwaji wa tumbo lake. Watu wengine wanatumia creams mbali mbali na mafuta ya Bio oil, kwa kweli hakuna dawa au cream ambayo inaondoa stretch marks totally, ila zinafifia tu kwa muda lakini haziondoki. Unaweza ukaziwahi pale zinapoanza kuota kwa kufanya mazoezi na diet nzuri ya kupunguza mafuta. Kwa mujibu wa science stretch marks zinaota pale ngozi ya ndani inapojiacha na kupelekea ngozi ya nje kupanuka bila ya mpangilio maalum.