We STAND FOR HUMANITY, representatives of children and youth working in a field of Reproductive health and the fight of HIV/AIDS in particular and development, joined together, within the framework of the Children and Youth forum on “Greater and effective Youth Participation in Tanzania’s Development.
UKATILI KWA WATOTO HAUNA BUDI KUKEMEWA KWA NGUVU ZOTE.

Inasikitisha sana kuona kesi nyingi za watoto kuhusu ubakaji, utesaji, utelekezaji, kuchomwa moto, kufungiwa ndani na matukio mengine mabaya kama hayo yanachukua muda mrefu baada ya kufika mahakamani na aghalab washtakiwa huonekana katika jamii wakiendelea na shughuli zao kama kawaida huku watoto wakiwa tayari wameathirika kisaikolojia.
Kumekuwepo malalamiko ya kesi za ukatili wa watoto kuchukua muda mrefu mahakamani kwa visingizio kuwa upelelezi haujakamilika ama mashahidi hawatoshelezi, hali inayolaumiwa sana na jamii na kuwakatisha wengi tama ya kuripoti kesi hizo kwani wengi wanaona ni kupoteza muda bure.
MSIKILIZE MTOTO WAKO
Ukisikiliza watoto unawaambia umuhimu wao.
Tafuta wakati wa kusikiliza maoni wa watoto.
Saa nyengine watoto hawaongei kwa sababu hawapatiwi fursa. Jaribu kuhakikisha kuna wakati na nafasi ya kila mtu katika jamii kuongea na pia kusikilizwa.
Sikiliza pia maneno ambayo hayasemekani. Kwa wengi, tabia huongea zaidi ya maneno. Je, mtoto ana jaribu kukuambia nini?
Sikiliza na shauri. Mpatie mtoto wako wakati wa kukuambia kisa au maneno yake.
Saidia watoto wako kutamka fikra na hisia zao kwa kuwasaidia kutafuta maneno au jinsi ya kuwasiliana na wewe.
Tafuta wakati wa kusikiliza maoni wa watoto.
Saa nyengine watoto hawaongei kwa sababu hawapatiwi fursa. Jaribu kuhakikisha kuna wakati na nafasi ya kila mtu katika jamii kuongea na pia kusikilizwa.
Sikiliza pia maneno ambayo hayasemekani. Kwa wengi, tabia huongea zaidi ya maneno. Je, mtoto ana jaribu kukuambia nini?
Sikiliza na shauri. Mpatie mtoto wako wakati wa kukuambia kisa au maneno yake.
Saidia watoto wako kutamka fikra na hisia zao kwa kuwasaidia kutafuta maneno au jinsi ya kuwasiliana na wewe.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Total views
Wednesday, 25 March 2015
Wednesday, 18 March 2015
UKATILI KWA WATOTO HAUNA BUDI KUKEMEWA KWA NGUVU ZOTE.

Inasikitisha sana kuona kesi nyingi za watoto kuhusu ubakaji, utesaji, utelekezaji, kuchomwa moto, kufungiwa ndani na matukio mengine mabaya kama hayo yanachukua muda mrefu baada ya kufika mahakamani na aghalab washtakiwa huonekana katika jamii wakiendelea na shughuli zao kama kawaida huku watoto wakiwa tayari wameathirika kisaikolojia.
Kumekuwepo malalamiko ya kesi za ukatili wa watoto kuchukua muda mrefu mahakamani kwa visingizio kuwa upelelezi haujakamilika ama mashahidi hawatoshelezi, hali inayolaumiwa sana na jamii na kuwakatisha wengi tama ya kuripoti kesi hizo kwani wengi wanaona ni kupoteza muda bure.
Wednesday, 11 March 2015
MSIKILIZE MTOTO WAKO
Ukisikiliza watoto unawaambia umuhimu wao.
Tafuta wakati wa kusikiliza maoni wa watoto.
Saa nyengine watoto hawaongei kwa sababu hawapatiwi fursa. Jaribu kuhakikisha kuna wakati na nafasi ya kila mtu katika jamii kuongea na pia kusikilizwa.
Sikiliza pia maneno ambayo hayasemekani. Kwa wengi, tabia huongea zaidi ya maneno. Je, mtoto ana jaribu kukuambia nini?
Sikiliza na shauri. Mpatie mtoto wako wakati wa kukuambia kisa au maneno yake.
Saidia watoto wako kutamka fikra na hisia zao kwa kuwasaidia kutafuta maneno au jinsi ya kuwasiliana na wewe.
Tafuta wakati wa kusikiliza maoni wa watoto.
Saa nyengine watoto hawaongei kwa sababu hawapatiwi fursa. Jaribu kuhakikisha kuna wakati na nafasi ya kila mtu katika jamii kuongea na pia kusikilizwa.
Sikiliza pia maneno ambayo hayasemekani. Kwa wengi, tabia huongea zaidi ya maneno. Je, mtoto ana jaribu kukuambia nini?
Sikiliza na shauri. Mpatie mtoto wako wakati wa kukuambia kisa au maneno yake.
Saidia watoto wako kutamka fikra na hisia zao kwa kuwasaidia kutafuta maneno au jinsi ya kuwasiliana na wewe.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Social Icons
UKATILI KWA WATOTO HAUNA BUDI KUKEMEWA KWA NGUVU ZOTE.

Inasikitisha sana kuona kesi nyingi za watoto kuhusu ubakaji, utesaji, utelekezaji, kuchomwa moto, kufungiwa ndani na matukio mengine mabaya kama hayo yanachukua muda mrefu baada ya kufika mahakamani na aghalab washtakiwa huonekana katika jamii wakiendelea na shughuli zao kama kawaida huku watoto wakiwa tayari wameathirika kisaikolojia.
Kumekuwepo malalamiko ya kesi za ukatili wa watoto kuchukua muda mrefu mahakamani kwa visingizio kuwa upelelezi haujakamilika ama mashahidi hawatoshelezi, hali inayolaumiwa sana na jamii na kuwakatisha wengi tama ya kuripoti kesi hizo kwani wengi wanaona ni kupoteza muda bure.
MSIKILIZE MTOTO WAKO
Ukisikiliza watoto unawaambia umuhimu wao.
Tafuta wakati wa kusikiliza maoni wa watoto.
Saa nyengine watoto hawaongei kwa sababu hawapatiwi fursa. Jaribu kuhakikisha kuna wakati na nafasi ya kila mtu katika jamii kuongea na pia kusikilizwa.
Sikiliza pia maneno ambayo hayasemekani. Kwa wengi, tabia huongea zaidi ya maneno. Je, mtoto ana jaribu kukuambia nini?
Sikiliza na shauri. Mpatie mtoto wako wakati wa kukuambia kisa au maneno yake.
Saidia watoto wako kutamka fikra na hisia zao kwa kuwasaidia kutafuta maneno au jinsi ya kuwasiliana na wewe.
Tafuta wakati wa kusikiliza maoni wa watoto.
Saa nyengine watoto hawaongei kwa sababu hawapatiwi fursa. Jaribu kuhakikisha kuna wakati na nafasi ya kila mtu katika jamii kuongea na pia kusikilizwa.
Sikiliza pia maneno ambayo hayasemekani. Kwa wengi, tabia huongea zaidi ya maneno. Je, mtoto ana jaribu kukuambia nini?
Sikiliza na shauri. Mpatie mtoto wako wakati wa kukuambia kisa au maneno yake.
Saidia watoto wako kutamka fikra na hisia zao kwa kuwasaidia kutafuta maneno au jinsi ya kuwasiliana na wewe.
Subscribe to:
Posts (Atom)