READING BOOKS TO BABIES

Unaweza kushangaa ni faida gani zinatokana na kumsomea mtoto kitabu. Mtoto hawezi kufahamu nini unamwambia na nini unafanya pia huwezi kusubiri kumuona mtoto wako anaongea lakini unakuja kushangaa pale mtoto anapoanza kuongea in a way that unamfahamu.
Kusoma kwa sauti kwa mtoto wako is totally a wonderful shared activity that you can continue for years to come. 

FAIDA ZA KUMSOMEA KITABU MTOTO 

  • Unamfunza mtoto njia za mawasiliano.
  • Unamfundisha mtoto numbers, colours, alphabets ans shapes in a fun way.
  • Inajenga usikilizaji, uongeaji, kumbukumbu nzuri nk.
  • Unamjenga mtoto na ufahamu wa kujua vitu vilivyomzunguka, uwezo wa kufikiri na kujibu maswali.
Kawaida mtoto akifikia first birthday anajua almost maneno yote ambayo mengine hawezi kuyatamka vizuri lakini anatumia tone ambayo anafahamika nini anasema. The more stories you read aloud to your kid - the more words anapata kujifunza. Kusikia maneno inamjenga mtoto kuwa na network nzuri ya maneno kwenye ubongo. 

Please feel free to share your thoughts with us.

PREGNANCY FITNESS

Mazoezi ya kila siku katika kipindi cha ujauzito ni muhimu kwa afya ya mama mjamzito ambayo humfanya awe mwepesi, ukuwaji mzuri wa mtoto tumboni na kuongeza nguvu wakati wakujifungua ambapo wanawake wengi hawajui waanzie wapi.
We've got different tips on great pregnancy workouts like dancing, swimming, kutembea (walking) etc. 
Kwa wale beginners wenye ujauzito kuanzia miezi miwili wanaweza kufanya mazoezi kwa dakika 10 at a time mpaka ukifika dakika 30 in all week days or most of them. Kuwa makini unapofanya mazoezi yasiwe mazito mpaka ukahisi joto kali ndani ya mwili. Vyakula vya maji pamoja na matunda ni muhimu sana kwa mama mjamzito as mwili unahitaji approximately 300 extra caloriesn a day kutokana na uzito wa mwili katika kipindi cha ujauzito
Jaribu ku relax wakati wa kufanya mazoezi pia ni muhimu kujificha jua na kuvaa comfortable exercise shoes.

SAFE EXERCISE

Ukiwa mjamzito na mpya kwenye joys of physical fitness, consider :-

Walking:  This activity gets top honors kwa mama wajawazito because it's safe, easy to do na inaongeza cardiovascular fitness — in short, hii ni njia rahisi kama ulikua hufanyi mazoezi kabla ya ujauzito.

Please feel free to share your thoughts with us.

NI UMRI GANI WATOTO WACHANGA WANAACHA MAZIWA YA MAMA NA KUTUMIA MAZIWA YA NG'OMBE ?



Watoto chini ya umri wa mwaka mmoja wanahitaji virutubisho kutoka kwenye maziwa ya mama au formula. Ni vizuri pia mtoto mwenye zaidi ya mwaka mmoja kuendelea kutumia maziwa ya mama. Watu wengi wanawaachisha watoto wao kunyonya mapema na kuanza kuwapa low-fat na skim milk ambayo kiafya sio mazuri kwa watoto chini ya mwaka mmoja kwasababu watoto wanahitaji fat in whole milk kwa ku support normal growth kiakili wakati wanapoanza kutambaa. Katika umri wa mwaka mmoja mtoto anatakiwa aanze kula vyakula mbali mbali ikiwemo kunywa maziwa vikombe 2-3 kwa siku. Ikiwa maziwa ya ng'ombe au formula yanasababisha allergy au other disorders kwa mtoto wako onana na daktari.
What are your thoughts ? Please share with us.

Total views

Friday, 18 April 2014

READING BOOKS TO BABIES

Unaweza kushangaa ni faida gani zinatokana na kumsomea mtoto kitabu. Mtoto hawezi kufahamu nini unamwambia na nini unafanya pia huwezi kusubiri kumuona mtoto wako anaongea lakini unakuja kushangaa pale mtoto anapoanza kuongea in a way that unamfahamu.
Kusoma kwa sauti kwa mtoto wako is totally a wonderful shared activity that you can continue for years to come. 

FAIDA ZA KUMSOMEA KITABU MTOTO 

  • Unamfunza mtoto njia za mawasiliano.
  • Unamfundisha mtoto numbers, colours, alphabets ans shapes in a fun way.
  • Inajenga usikilizaji, uongeaji, kumbukumbu nzuri nk.
  • Unamjenga mtoto na ufahamu wa kujua vitu vilivyomzunguka, uwezo wa kufikiri na kujibu maswali.
Kawaida mtoto akifikia first birthday anajua almost maneno yote ambayo mengine hawezi kuyatamka vizuri lakini anatumia tone ambayo anafahamika nini anasema. The more stories you read aloud to your kid - the more words anapata kujifunza. Kusikia maneno inamjenga mtoto kuwa na network nzuri ya maneno kwenye ubongo. 

Please feel free to share your thoughts with us.

PREGNANCY FITNESS

Mazoezi ya kila siku katika kipindi cha ujauzito ni muhimu kwa afya ya mama mjamzito ambayo humfanya awe mwepesi, ukuwaji mzuri wa mtoto tumboni na kuongeza nguvu wakati wakujifungua ambapo wanawake wengi hawajui waanzie wapi.
We've got different tips on great pregnancy workouts like dancing, swimming, kutembea (walking) etc. 
Kwa wale beginners wenye ujauzito kuanzia miezi miwili wanaweza kufanya mazoezi kwa dakika 10 at a time mpaka ukifika dakika 30 in all week days or most of them. Kuwa makini unapofanya mazoezi yasiwe mazito mpaka ukahisi joto kali ndani ya mwili. Vyakula vya maji pamoja na matunda ni muhimu sana kwa mama mjamzito as mwili unahitaji approximately 300 extra caloriesn a day kutokana na uzito wa mwili katika kipindi cha ujauzito
Jaribu ku relax wakati wa kufanya mazoezi pia ni muhimu kujificha jua na kuvaa comfortable exercise shoes.

SAFE EXERCISE

Ukiwa mjamzito na mpya kwenye joys of physical fitness, consider :-

Walking:  This activity gets top honors kwa mama wajawazito because it's safe, easy to do na inaongeza cardiovascular fitness — in short, hii ni njia rahisi kama ulikua hufanyi mazoezi kabla ya ujauzito.

Please feel free to share your thoughts with us.

NI UMRI GANI WATOTO WACHANGA WANAACHA MAZIWA YA MAMA NA KUTUMIA MAZIWA YA NG'OMBE ?



Watoto chini ya umri wa mwaka mmoja wanahitaji virutubisho kutoka kwenye maziwa ya mama au formula. Ni vizuri pia mtoto mwenye zaidi ya mwaka mmoja kuendelea kutumia maziwa ya mama. Watu wengi wanawaachisha watoto wao kunyonya mapema na kuanza kuwapa low-fat na skim milk ambayo kiafya sio mazuri kwa watoto chini ya mwaka mmoja kwasababu watoto wanahitaji fat in whole milk kwa ku support normal growth kiakili wakati wanapoanza kutambaa. Katika umri wa mwaka mmoja mtoto anatakiwa aanze kula vyakula mbali mbali ikiwemo kunywa maziwa vikombe 2-3 kwa siku. Ikiwa maziwa ya ng'ombe au formula yanasababisha allergy au other disorders kwa mtoto wako onana na daktari.
What are your thoughts ? Please share with us.

Social Icons

READING BOOKS TO BABIES

Unaweza kushangaa ni faida gani zinatokana na kumsomea mtoto kitabu. Mtoto hawezi kufahamu nini unamwambia na nini unafanya pia huwezi kusubiri kumuona mtoto wako anaongea lakini unakuja kushangaa pale mtoto anapoanza kuongea in a way that unamfahamu.
Kusoma kwa sauti kwa mtoto wako is totally a wonderful shared activity that you can continue for years to come. 

FAIDA ZA KUMSOMEA KITABU MTOTO 

  • Unamfunza mtoto njia za mawasiliano.
  • Unamfundisha mtoto numbers, colours, alphabets ans shapes in a fun way.
  • Inajenga usikilizaji, uongeaji, kumbukumbu nzuri nk.
  • Unamjenga mtoto na ufahamu wa kujua vitu vilivyomzunguka, uwezo wa kufikiri na kujibu maswali.
Kawaida mtoto akifikia first birthday anajua almost maneno yote ambayo mengine hawezi kuyatamka vizuri lakini anatumia tone ambayo anafahamika nini anasema. The more stories you read aloud to your kid - the more words anapata kujifunza. Kusikia maneno inamjenga mtoto kuwa na network nzuri ya maneno kwenye ubongo. 

Please feel free to share your thoughts with us.

PREGNANCY FITNESS

Mazoezi ya kila siku katika kipindi cha ujauzito ni muhimu kwa afya ya mama mjamzito ambayo humfanya awe mwepesi, ukuwaji mzuri wa mtoto tumboni na kuongeza nguvu wakati wakujifungua ambapo wanawake wengi hawajui waanzie wapi.
We've got different tips on great pregnancy workouts like dancing, swimming, kutembea (walking) etc. 
Kwa wale beginners wenye ujauzito kuanzia miezi miwili wanaweza kufanya mazoezi kwa dakika 10 at a time mpaka ukifika dakika 30 in all week days or most of them. Kuwa makini unapofanya mazoezi yasiwe mazito mpaka ukahisi joto kali ndani ya mwili. Vyakula vya maji pamoja na matunda ni muhimu sana kwa mama mjamzito as mwili unahitaji approximately 300 extra caloriesn a day kutokana na uzito wa mwili katika kipindi cha ujauzito
Jaribu ku relax wakati wa kufanya mazoezi pia ni muhimu kujificha jua na kuvaa comfortable exercise shoes.

SAFE EXERCISE

Ukiwa mjamzito na mpya kwenye joys of physical fitness, consider :-

Walking:  This activity gets top honors kwa mama wajawazito because it's safe, easy to do na inaongeza cardiovascular fitness — in short, hii ni njia rahisi kama ulikua hufanyi mazoezi kabla ya ujauzito.

Please feel free to share your thoughts with us.

NI UMRI GANI WATOTO WACHANGA WANAACHA MAZIWA YA MAMA NA KUTUMIA MAZIWA YA NG'OMBE ?



Watoto chini ya umri wa mwaka mmoja wanahitaji virutubisho kutoka kwenye maziwa ya mama au formula. Ni vizuri pia mtoto mwenye zaidi ya mwaka mmoja kuendelea kutumia maziwa ya mama. Watu wengi wanawaachisha watoto wao kunyonya mapema na kuanza kuwapa low-fat na skim milk ambayo kiafya sio mazuri kwa watoto chini ya mwaka mmoja kwasababu watoto wanahitaji fat in whole milk kwa ku support normal growth kiakili wakati wanapoanza kutambaa. Katika umri wa mwaka mmoja mtoto anatakiwa aanze kula vyakula mbali mbali ikiwemo kunywa maziwa vikombe 2-3 kwa siku. Ikiwa maziwa ya ng'ombe au formula yanasababisha allergy au other disorders kwa mtoto wako onana na daktari.
What are your thoughts ? Please share with us.