Ugonjwa unaosababishwa na vyakula vimelea husababisha watu hadi milioni 81 ugonjwa kila mwaka, na karibu magonjwa 9000 haya kusababisha vifo. Watoto ni miongoni mwa watu wengi ambao wapo katika hatari ya kupata ugonjwa kutokana na sumu ya chakula .
Kumlinda mtoto wako kutokana na wadudu wanaosababisha sumu kwenye chakula, ni muhimu kufanya mazoezi yafuatayo kwa kuhakikisha usalama wa chakula, ambao ni pamoja na kutokumpa mtoto wako chakula kilichopikwa na kuwekwa kwenye fridge kwa muda mrefu ikiwemo nyama, samaki au mayai; kuosha mikono yako na vyombo baada ya kushika kuku alokuwa hajapikwa na nyama ; kuosha matunda na mboga ; usimpe mtoto maziwa yalokuwa hayajachemshwa ; epuka kumpa samaki wasiojulikana; si vyema kumpa mtoto hamburgers iwe ni mara chache tu ; chakula kilichobaki kwenye fridge na kilokaa kwenye joto la kawaida kwa masaa kadhaa sio kizuri kumpa mtoto.