SEVERE MORNING SICKNESS TO PREGNANT WOMEN

During first trimester of pregnancy, wanawake wengi wanapata hisia za kichefuchefu na kutapika ambayo inajulikana kama morning sickness. Despite its name Morning sickness, inaweza kutokea muda wowote ikiwa asubuhi, mchana au usiku. Kawaida inatokea week ya 6 ya ujauzito mpaka week ya 9 na inapotea around week ya 16 mpaka 18 lakini pia Morning sickness inajulikana kama afya nzuri wakati wa ujauzito pale unapopata kichefuchefu na kutapika ni ishara za ujauzito kukua vizuri.

WHAT CAUSES NAUSEA AND VOMITING DURING PREGNANCY ?

Kawaida hakuna anaejua kwa uhakika ni kitu gani kinasababisha kutapika katika ujauzito. Kwa hali ya kawaida hii inasababishwa na physical cahnges wakati wa ujauzito. Baadhi ya sababu zinazopelekea kutapika na kuhisi kichefuchefu ni hizi :-

ESTROGEN: Ni hormones ambao huongezeka kwa wingi in early pregnancy na kusababisha kuapika na kuhisi kichefuchefu mara kwa mara.

STRESS: Some of the researchers wamegundua kwamba kutapika na nausea wakati wa ujauzito inasababishwa na stress. And yeah it's true maana pale unapomaliza kutapika pia you become stressed.

WILL NAUSEA AFFECT THE BABY ?

Nausea haisababishi effect yoyote kwa afya mtoto. Kama weight yako haijaongezeka during first trimester sio tatizo as long as you're able to stay hydrated and can keep some food down. Kila ujauzito unapokua na appetite inarudi and you will start gaining weight. 
Ikiwa kichefuchefu kinasababisha kupanguka kwa ratiba yako ya kula vyakula vyenye afya ( Balanced diet ), hakikisha unapata nutrients zote kwa kutumia prenatal vitamin. 

Do you have any suggestions ? Please feel free to share your ideas with us.

READING BOOKS TO BABIES

Unaweza kushangaa ni faida gani zinatokana na kumsomea mtoto kitabu. Mtoto hawezi kufahamu nini unamwambia na nini unafanya pia huwezi kusubiri kumuona mtoto wako anaongea lakini unakuja kushangaa pale mtoto anapoanza kuongea in a way that unamfahamu.
Kusoma kwa sauti kwa mtoto wako is totally a wonderful shared activity that you can continue for years to come. 

FAIDA ZA KUMSOMEA KITABU MTOTO 

  • Unamfunza mtoto njia za mawasiliano.
  • Unamfundisha mtoto numbers, colours, alphabets ans shapes in a fun way.
  • Inajenga usikilizaji, uongeaji, kumbukumbu nzuri nk.
  • Unamjenga mtoto na ufahamu wa kujua vitu vilivyomzunguka, uwezo wa kufikiri na kujibu maswali.
Kawaida mtoto akifikia first birthday anajua almost maneno yote ambayo mengine hawezi kuyatamka vizuri lakini anatumia tone ambayo anafahamika nini anasema. The more stories you read aloud to your kid - the more words anapata kujifunza. Kusikia maneno inamjenga mtoto kuwa na network nzuri ya maneno kwenye ubongo. 

Please feel free to share your thoughts with us.

PREGNANCY FITNESS

Mazoezi ya kila siku katika kipindi cha ujauzito ni muhimu kwa afya ya mama mjamzito ambayo humfanya awe mwepesi, ukuwaji mzuri wa mtoto tumboni na kuongeza nguvu wakati wakujifungua ambapo wanawake wengi hawajui waanzie wapi.
We've got different tips on great pregnancy workouts like dancing, swimming, kutembea (walking) etc. 
Kwa wale beginners wenye ujauzito kuanzia miezi miwili wanaweza kufanya mazoezi kwa dakika 10 at a time mpaka ukifika dakika 30 in all week days or most of them. Kuwa makini unapofanya mazoezi yasiwe mazito mpaka ukahisi joto kali ndani ya mwili. Vyakula vya maji pamoja na matunda ni muhimu sana kwa mama mjamzito as mwili unahitaji approximately 300 extra caloriesn a day kutokana na uzito wa mwili katika kipindi cha ujauzito
Jaribu ku relax wakati wa kufanya mazoezi pia ni muhimu kujificha jua na kuvaa comfortable exercise shoes.

SAFE EXERCISE

Ukiwa mjamzito na mpya kwenye joys of physical fitness, consider :-

Walking:  This activity gets top honors kwa mama wajawazito because it's safe, easy to do na inaongeza cardiovascular fitness — in short, hii ni njia rahisi kama ulikua hufanyi mazoezi kabla ya ujauzito.

Please feel free to share your thoughts with us.

NI UMRI GANI WATOTO WACHANGA WANAACHA MAZIWA YA MAMA NA KUTUMIA MAZIWA YA NG'OMBE ?



Watoto chini ya umri wa mwaka mmoja wanahitaji virutubisho kutoka kwenye maziwa ya mama au formula. Ni vizuri pia mtoto mwenye zaidi ya mwaka mmoja kuendelea kutumia maziwa ya mama. Watu wengi wanawaachisha watoto wao kunyonya mapema na kuanza kuwapa low-fat na skim milk ambayo kiafya sio mazuri kwa watoto chini ya mwaka mmoja kwasababu watoto wanahitaji fat in whole milk kwa ku support normal growth kiakili wakati wanapoanza kutambaa. Katika umri wa mwaka mmoja mtoto anatakiwa aanze kula vyakula mbali mbali ikiwemo kunywa maziwa vikombe 2-3 kwa siku. Ikiwa maziwa ya ng'ombe au formula yanasababisha allergy au other disorders kwa mtoto wako onana na daktari.
What are your thoughts ? Please share with us.

Total views

Tuesday, 22 April 2014

SEVERE MORNING SICKNESS TO PREGNANT WOMEN

During first trimester of pregnancy, wanawake wengi wanapata hisia za kichefuchefu na kutapika ambayo inajulikana kama morning sickness. Despite its name Morning sickness, inaweza kutokea muda wowote ikiwa asubuhi, mchana au usiku. Kawaida inatokea week ya 6 ya ujauzito mpaka week ya 9 na inapotea around week ya 16 mpaka 18 lakini pia Morning sickness inajulikana kama afya nzuri wakati wa ujauzito pale unapopata kichefuchefu na kutapika ni ishara za ujauzito kukua vizuri.

WHAT CAUSES NAUSEA AND VOMITING DURING PREGNANCY ?

Kawaida hakuna anaejua kwa uhakika ni kitu gani kinasababisha kutapika katika ujauzito. Kwa hali ya kawaida hii inasababishwa na physical cahnges wakati wa ujauzito. Baadhi ya sababu zinazopelekea kutapika na kuhisi kichefuchefu ni hizi :-

ESTROGEN: Ni hormones ambao huongezeka kwa wingi in early pregnancy na kusababisha kuapika na kuhisi kichefuchefu mara kwa mara.

STRESS: Some of the researchers wamegundua kwamba kutapika na nausea wakati wa ujauzito inasababishwa na stress. And yeah it's true maana pale unapomaliza kutapika pia you become stressed.

WILL NAUSEA AFFECT THE BABY ?

Nausea haisababishi effect yoyote kwa afya mtoto. Kama weight yako haijaongezeka during first trimester sio tatizo as long as you're able to stay hydrated and can keep some food down. Kila ujauzito unapokua na appetite inarudi and you will start gaining weight. 
Ikiwa kichefuchefu kinasababisha kupanguka kwa ratiba yako ya kula vyakula vyenye afya ( Balanced diet ), hakikisha unapata nutrients zote kwa kutumia prenatal vitamin. 

Do you have any suggestions ? Please feel free to share your ideas with us.

Friday, 18 April 2014

READING BOOKS TO BABIES

Unaweza kushangaa ni faida gani zinatokana na kumsomea mtoto kitabu. Mtoto hawezi kufahamu nini unamwambia na nini unafanya pia huwezi kusubiri kumuona mtoto wako anaongea lakini unakuja kushangaa pale mtoto anapoanza kuongea in a way that unamfahamu.
Kusoma kwa sauti kwa mtoto wako is totally a wonderful shared activity that you can continue for years to come. 

FAIDA ZA KUMSOMEA KITABU MTOTO 

  • Unamfunza mtoto njia za mawasiliano.
  • Unamfundisha mtoto numbers, colours, alphabets ans shapes in a fun way.
  • Inajenga usikilizaji, uongeaji, kumbukumbu nzuri nk.
  • Unamjenga mtoto na ufahamu wa kujua vitu vilivyomzunguka, uwezo wa kufikiri na kujibu maswali.
Kawaida mtoto akifikia first birthday anajua almost maneno yote ambayo mengine hawezi kuyatamka vizuri lakini anatumia tone ambayo anafahamika nini anasema. The more stories you read aloud to your kid - the more words anapata kujifunza. Kusikia maneno inamjenga mtoto kuwa na network nzuri ya maneno kwenye ubongo. 

Please feel free to share your thoughts with us.

PREGNANCY FITNESS

Mazoezi ya kila siku katika kipindi cha ujauzito ni muhimu kwa afya ya mama mjamzito ambayo humfanya awe mwepesi, ukuwaji mzuri wa mtoto tumboni na kuongeza nguvu wakati wakujifungua ambapo wanawake wengi hawajui waanzie wapi.
We've got different tips on great pregnancy workouts like dancing, swimming, kutembea (walking) etc. 
Kwa wale beginners wenye ujauzito kuanzia miezi miwili wanaweza kufanya mazoezi kwa dakika 10 at a time mpaka ukifika dakika 30 in all week days or most of them. Kuwa makini unapofanya mazoezi yasiwe mazito mpaka ukahisi joto kali ndani ya mwili. Vyakula vya maji pamoja na matunda ni muhimu sana kwa mama mjamzito as mwili unahitaji approximately 300 extra caloriesn a day kutokana na uzito wa mwili katika kipindi cha ujauzito
Jaribu ku relax wakati wa kufanya mazoezi pia ni muhimu kujificha jua na kuvaa comfortable exercise shoes.

SAFE EXERCISE

Ukiwa mjamzito na mpya kwenye joys of physical fitness, consider :-

Walking:  This activity gets top honors kwa mama wajawazito because it's safe, easy to do na inaongeza cardiovascular fitness — in short, hii ni njia rahisi kama ulikua hufanyi mazoezi kabla ya ujauzito.

Please feel free to share your thoughts with us.

NI UMRI GANI WATOTO WACHANGA WANAACHA MAZIWA YA MAMA NA KUTUMIA MAZIWA YA NG'OMBE ?



Watoto chini ya umri wa mwaka mmoja wanahitaji virutubisho kutoka kwenye maziwa ya mama au formula. Ni vizuri pia mtoto mwenye zaidi ya mwaka mmoja kuendelea kutumia maziwa ya mama. Watu wengi wanawaachisha watoto wao kunyonya mapema na kuanza kuwapa low-fat na skim milk ambayo kiafya sio mazuri kwa watoto chini ya mwaka mmoja kwasababu watoto wanahitaji fat in whole milk kwa ku support normal growth kiakili wakati wanapoanza kutambaa. Katika umri wa mwaka mmoja mtoto anatakiwa aanze kula vyakula mbali mbali ikiwemo kunywa maziwa vikombe 2-3 kwa siku. Ikiwa maziwa ya ng'ombe au formula yanasababisha allergy au other disorders kwa mtoto wako onana na daktari.
What are your thoughts ? Please share with us.

Social Icons

SEVERE MORNING SICKNESS TO PREGNANT WOMEN

During first trimester of pregnancy, wanawake wengi wanapata hisia za kichefuchefu na kutapika ambayo inajulikana kama morning sickness. Despite its name Morning sickness, inaweza kutokea muda wowote ikiwa asubuhi, mchana au usiku. Kawaida inatokea week ya 6 ya ujauzito mpaka week ya 9 na inapotea around week ya 16 mpaka 18 lakini pia Morning sickness inajulikana kama afya nzuri wakati wa ujauzito pale unapopata kichefuchefu na kutapika ni ishara za ujauzito kukua vizuri.

WHAT CAUSES NAUSEA AND VOMITING DURING PREGNANCY ?

Kawaida hakuna anaejua kwa uhakika ni kitu gani kinasababisha kutapika katika ujauzito. Kwa hali ya kawaida hii inasababishwa na physical cahnges wakati wa ujauzito. Baadhi ya sababu zinazopelekea kutapika na kuhisi kichefuchefu ni hizi :-

ESTROGEN: Ni hormones ambao huongezeka kwa wingi in early pregnancy na kusababisha kuapika na kuhisi kichefuchefu mara kwa mara.

STRESS: Some of the researchers wamegundua kwamba kutapika na nausea wakati wa ujauzito inasababishwa na stress. And yeah it's true maana pale unapomaliza kutapika pia you become stressed.

WILL NAUSEA AFFECT THE BABY ?

Nausea haisababishi effect yoyote kwa afya mtoto. Kama weight yako haijaongezeka during first trimester sio tatizo as long as you're able to stay hydrated and can keep some food down. Kila ujauzito unapokua na appetite inarudi and you will start gaining weight. 
Ikiwa kichefuchefu kinasababisha kupanguka kwa ratiba yako ya kula vyakula vyenye afya ( Balanced diet ), hakikisha unapata nutrients zote kwa kutumia prenatal vitamin. 

Do you have any suggestions ? Please feel free to share your ideas with us.

READING BOOKS TO BABIES

Unaweza kushangaa ni faida gani zinatokana na kumsomea mtoto kitabu. Mtoto hawezi kufahamu nini unamwambia na nini unafanya pia huwezi kusubiri kumuona mtoto wako anaongea lakini unakuja kushangaa pale mtoto anapoanza kuongea in a way that unamfahamu.
Kusoma kwa sauti kwa mtoto wako is totally a wonderful shared activity that you can continue for years to come. 

FAIDA ZA KUMSOMEA KITABU MTOTO 

  • Unamfunza mtoto njia za mawasiliano.
  • Unamfundisha mtoto numbers, colours, alphabets ans shapes in a fun way.
  • Inajenga usikilizaji, uongeaji, kumbukumbu nzuri nk.
  • Unamjenga mtoto na ufahamu wa kujua vitu vilivyomzunguka, uwezo wa kufikiri na kujibu maswali.
Kawaida mtoto akifikia first birthday anajua almost maneno yote ambayo mengine hawezi kuyatamka vizuri lakini anatumia tone ambayo anafahamika nini anasema. The more stories you read aloud to your kid - the more words anapata kujifunza. Kusikia maneno inamjenga mtoto kuwa na network nzuri ya maneno kwenye ubongo. 

Please feel free to share your thoughts with us.

PREGNANCY FITNESS

Mazoezi ya kila siku katika kipindi cha ujauzito ni muhimu kwa afya ya mama mjamzito ambayo humfanya awe mwepesi, ukuwaji mzuri wa mtoto tumboni na kuongeza nguvu wakati wakujifungua ambapo wanawake wengi hawajui waanzie wapi.
We've got different tips on great pregnancy workouts like dancing, swimming, kutembea (walking) etc. 
Kwa wale beginners wenye ujauzito kuanzia miezi miwili wanaweza kufanya mazoezi kwa dakika 10 at a time mpaka ukifika dakika 30 in all week days or most of them. Kuwa makini unapofanya mazoezi yasiwe mazito mpaka ukahisi joto kali ndani ya mwili. Vyakula vya maji pamoja na matunda ni muhimu sana kwa mama mjamzito as mwili unahitaji approximately 300 extra caloriesn a day kutokana na uzito wa mwili katika kipindi cha ujauzito
Jaribu ku relax wakati wa kufanya mazoezi pia ni muhimu kujificha jua na kuvaa comfortable exercise shoes.

SAFE EXERCISE

Ukiwa mjamzito na mpya kwenye joys of physical fitness, consider :-

Walking:  This activity gets top honors kwa mama wajawazito because it's safe, easy to do na inaongeza cardiovascular fitness — in short, hii ni njia rahisi kama ulikua hufanyi mazoezi kabla ya ujauzito.

Please feel free to share your thoughts with us.

NI UMRI GANI WATOTO WACHANGA WANAACHA MAZIWA YA MAMA NA KUTUMIA MAZIWA YA NG'OMBE ?



Watoto chini ya umri wa mwaka mmoja wanahitaji virutubisho kutoka kwenye maziwa ya mama au formula. Ni vizuri pia mtoto mwenye zaidi ya mwaka mmoja kuendelea kutumia maziwa ya mama. Watu wengi wanawaachisha watoto wao kunyonya mapema na kuanza kuwapa low-fat na skim milk ambayo kiafya sio mazuri kwa watoto chini ya mwaka mmoja kwasababu watoto wanahitaji fat in whole milk kwa ku support normal growth kiakili wakati wanapoanza kutambaa. Katika umri wa mwaka mmoja mtoto anatakiwa aanze kula vyakula mbali mbali ikiwemo kunywa maziwa vikombe 2-3 kwa siku. Ikiwa maziwa ya ng'ombe au formula yanasababisha allergy au other disorders kwa mtoto wako onana na daktari.
What are your thoughts ? Please share with us.